Special blog;Tanzania Traditional Music & Arts.
Muziki wa Jadi na Sanaa Tanzania.
Wednesday, December 19, 2012
MTOTO WA MIAKA 3 ATIA FORA SHEREHE ZA 51 YA UHURU
Mtoto huyu mwenye umri wa miaka mitatu(3) amaweka rekodi ya kuwa msanii mwenye umri mdogo zaidi kuwai kushriki sherehe za uhuru wa Tanzania ,hii ilikuwa tarehe 9 December 2012 uwanja wa Taifa(shamba la bibi) ikatimu miaka 51
No comments:
Post a Comment