Mshindi la Maisha plus 2010 Abdulhalim ''dudu' Salum akiwa na wasanii wa kikundi cha wagogo-NJEMBE na wasanii wa MBEGA Arts, hapo wakiwa kijiji cha Makumbusho Kijitonyama Dar es salaam. |
Msanii Abdulhalim''dudu'' akiwa na ala ya firimbi na vazi la rubega na kofia maridadi ya manyoya ya mbega |
Sanaa ya uchoraji mwilini TATOO umeeneza zaidi ughaibuni hapa bint wa kihungaria muhudumu wa mgahawa katika jiji la Budapest Hungary akinionyesha tatoo yake sehemu ya mkononi |
kwa karibu zaidi unaona amechora nyoka alisema yeye anapenda nyoka tu |
No comments:
Post a Comment